.

.

Latest Posts

MUHIDIN MDANKU AVUNJA NDOA YA MTU

Muhidin Mdanku Ukistaajabu ya musa utaona ya firauni hapa jamaa mfanyakazi wa serikalini amevunja ndoa ya mtu na kijana huyo akiwa hana uoga kabisa na anachokifanya kiasi hata cha kumtishia mwenye mke kijana huyo akiwa mwenye sura ya upole Muhidin ni kijana mpole sana ila katika suala la kuvunja ndoa za watu amekua makini sana kwani ana matukio kadhaaa ya aina moja Thanx Okay, wishing u always a good Tutazungumza night but always remember Ilove u. Thanks, tupo pamoja Mummy!! Poa acha nivae niende coz saa yangu inaniambia bado 1hr Hizi zikiwa baadhi ya chart zake zilizopatika katika simu ya mke wa mtu
Leave a Comment Read More

MTANZANIA MWENGINE AFARIKI DUNIA HUKO INDIA

[17:16, 20/10/2014] Wimbi la watanzania wanauza miili yako huko china na india inazidi kila kukicha na majanga mwengi yanawakuta kiasi cha kuwa tatizo hapa tunakuletea mtanzania mwengine aliyefariki huko india leo hiii na hatujapata taarifa ataletwa bongo au kuzikwa huko new delhi Jina lake halikupatikana ila wabongo walimpa jina la wema sepetu kutokana na sauti yake kufanana sana na wema
Leave a Comment Read More

TI IN DAR.ES SALAAM TANZANIA

Leave a Comment Read More

Know about Kenedy Victor

Kened victor ndio jina lake lakini he so famous under Kenny ni kajana lakini wengi wanamuita handsome boy chotara huyo aliyezaliwa miaka kadhaa iliyopita na kupata elimu yake nchini Uganda na kurudi nyumbani kuendeleza sanaa yake. Alipofika tu alitumbukia kwenye modeling kutokana na mwili wake lakin mtunis akaona sio sehemu yake sahihi ni lazima akae kwenye movie na ndio hapo safari yake ilipoanzia. Mkali huyo kashafanya movie kibao lakini movie yake kali ilikuwa best wife kwani ndio ilikuwa ya kwanza na jasho jingi lilimtoka mpka leo kuitwa star. Lakin yeye anaikubali sana movie ya mrembo kikojozi na kwa sasa anakuja na movie itakayo kua history in bongo stay tune
Leave a Comment Read More

TUDY THOMAS AACHANA NA MZAZI MWENZIE

Tudy thomas achana na mzazi mwenzie Huyu ni yule mgonga beat au mkali wao aliyewahi kugonga beat kibao hapa bongo na kwa sasa ngoma yake kali mtaani ni kitorondo ya Diamond ameachana na yule miss Moshi mwaka 2012 na aliyeshiriki mis tz pia aliweza kupata mtoto wao wa kike mwanzoni mwa mwaka huu lakin kwa sasa wametengana na mzazi mwenzio huyo : Asha aliyezaa na tudy thomas
Leave a Comment Read More

JESTNA GEORGE ACHEZEA KICHAPO

Breaking news jestina georg ala kichapo cha mbwa mwizi Hii imesababishwa na zile harakati za kukomesha udhalilishaji. Kumekuwa na matumiz mabaya ya mitandao katika siku za hivi karibuni hii inatoka na ukuaji utandawazi bila ya elimu ya kutosha mwisho wa siku watu wanatumia vibaya hivi karibuni Matlida aka matikibokoyao aliweza kukamatwa na kulala ndani pale mabatini na jana baada ya jestin kumrecord cocu na kusambaza kwa kina dougiemasta mrembo huyo alitafutwa na kula kichapo cha haja nadhani kidogo hizi harakati zitapungua au kwisha kabisa kwa mwendo huu
Leave a Comment Read More

MATIKIBOKOYAO ATIWA MBARONI NA MAPOLISI

Matikibokoyao atiwa mbaroni na police na hapa tunapongea yuko mabatini akinyea debe hii ni kutikana na vitu vywa uzusji anavyodhalilisha watu mitandaoni sosi itazidi kukupa habari lakini kwa sasa matikoboko yao hali ni tete . Huyu ni yule mkali wa kudhalilisha watu kwenye instagram sasa yamemkuta
Leave a Comment Read More

ADVERTISEMENT

ADVERTISEMENT
jazz saloon at viva tower for both men and women include massage done by philipine

Blog rafiki

Popular Posts

Recent Comments