.

.

MREMBO JANETH FROM BONGO MOVIE INDUSTRY SHE IS BACK FROM SOUTH AFRICA

Haya ndio mambo tunayoyataka wafanye wasanii wa bongo hususan katika tasnia ya filamu, ili wapate kupeperusha vyema bendera yetu ya taifa.. Haya mjue mwanadada Janet ambaye alishawahi kufanya movie chini ya kampuni ya william mtitu (who is my child) na kupata dili ya kwenda south kufanya tangazo la merrylight sasa amerejea na moto wake kwenye bongo movie kuja kuwakimbiza wasanii wengine Haya mjipange..


Leave a Comment

0 comments:

Post a Comment

ADVERTISEMENT

ADVERTISEMENT
jazz saloon at viva tower for both men and women include massage done by philipine

Blog rafiki

Popular Posts

Recent Comments