.

.

Latest Posts

HAWA NDIO WASANII WALIONYAKUA TUZO ZA ACTION N CUTZ ZA BONGO MOVIE

Bongo movie award zilifanyika poa sana mitaa ya kigamboni na wasanii wengi kuchukua tuzo kama msanii bora comedian nishe au salma jabu na kiume ni majuto huku best upcoming ni welu sengo best male jb best feature ni eshe buheti
Leave a Comment Read More

MSAMI BABY ANAKUJA KIVYENGINE STAY TUNE

Leave a Comment Read More

MSANII MATONYA AACHA VUMBI BAR

Matonya awaachia manyoa wahudumu wa bar, Mkali huyo mwenye heat kibao na aliyewahi kufanya viruzi sasa maisha yamebadilika kabisa kwan amekua na record mbaya za kupewa advance na kusepa, na hata bar akinywa anaacha kulipa , hapa ilitokea maeneo ya victoria mkali huyo alipoitwa na mshikaji wake kuzima park lite ndio alipopata nafasi ya kusepa bila kulipa
Leave a Comment Read More

Steve nyerere apata ajali mbaya

Steve nyerere apata ajali mbaya sana baada ya kutoka kwenye lauch ya mbwa mwitu Steve ambae alionekana kuwa amelewa sana aliondoka maeneo ya mlimani city kwa chombo chetu cha habari kinasema inawezekana ikawa amegonga nguzo
Leave a Comment Read More

JAZZ SALOON NDIO HABARI YA MUJINI

jazz saloon at viva tower for both men and women include massage done by philipine
Leave a Comment Read More

HOT PHOTOS FOR CAR CHARITY KAJALA AND ARTIST WA BONGO MOVIE KATIKA VIWANJA VYA BIAFRA LEO

Leave a Comment Read More

HATIMAYE MOVIE MPYA UNDER KAJALA ENTERTAINMENT YA MBWA MWITU KUZINDULIWA JUMATANO HII MLIMANI CITY

Final ile movie ya mbwa mwitu kuwa lounge pale mlimani city siku ya jumatano na mkuu wa police kuwa mgeni rasmi kama short story mobie hiyo inayo base katika true story tukusanyike wote watakaolikwa pale mlimani city jumatano hii kwa movie hiyo yenye uhalisia na ukweli wa maisha yetu
Leave a Comment Read More

WHISKY YA Fyfes NDO HABARI YA MUJINI

Fyfers ndio habari ya mjini ukiwa mjanja unakaa hapa na hangover na still afordable .
Leave a Comment Read More

THE MAKING OF NEW VIDEO OF BABY MADAHA

Baby madaha akijianda katika harakati wa kufanya video ya ngoma yake mpya mkali huyo aliweza kutia team mitaa ya Viva tower na kufanya body massage ili kujiweka fresh na kisha kufanya make up na kutoka chicha ready kwa video yake hiyo mpya stay tune
Leave a Comment Read More

HUDDAH MONROE KUANZISHA TV SHOW....

Huddah monroe anakuja na tv show yake ambao itakuwa inaitwa meet ur dream so far haijajulikana itarushwa wapi ila kwa sasa yuko katika harakati za kufanya demo ya kipindi hicho kitakacho wakutanisha watu wa kawaida na mastar hususani wale ambao wana ndoto kubwa. Kipindi ambacho so far kiko kwenye progres kitahusisha mastar wote east afrika na afrika kwa ujumla
Leave a Comment Read More

MOVIE YA KISODA YA IRENE UWOYA COMING SOON

Ile movie iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu na wadau wa movie nchini inayoenda kwa jina la Kisoda sasa iko njiani kuwa mtaani baada ya mkurugenzi wa movie hiyo anaeitwa Irene Uwoya kufunguka kwamba sasa movie hiyo imeisha na soon itakuwa mtaani kwani team nzima iliyokuwa south afrika imeasharudi na sasa wanamalizia tu ku-edit na kuweka mzigo sokoni Uwoya akiendelea na story kuhusu movie yake hiyo itakayojumisha drama and music imeshagharimu dola za kimarekani 25000 sawa na 40 million za kitanzania
Leave a Comment Read More

MSANII WA NIGERIA IYANYA KUTAFUTA VIPAJI VYA WASANII NCHINI KENYA SEPTEMBER 14 MWAKA HUU

Producer wa ngoma ya johnny na aliyefanyia mixing ngoma ya Selebobo wakiwa na wasani kama tecno na emanyira na mkuu wao Iyanya wantarajiwa kushuka kenya 14 mwezi huu kupiga show lakini pia kutafuta wasanii wa kufanya nao kazi tayar mtu kama nameless tayar wameshafanya nae mazungumzo na artist wengine iyanya akiwa na producer wake Ubi frankin ofem watakuepo kenya so fursa ndio hiyo si lazima mpaka mkenya
Leave a Comment Read More

MAJAY AJIWEKA KWA MWANADADA HAMISA MOBETO

Leave a Comment Read More

PHOTO OF THE WEEK KENYAN MODEL LILY THE GINIE.....

Leave a Comment Read More

ADVERTISEMENT

ADVERTISEMENT
jazz saloon at viva tower for both men and women include massage done by philipine

Blog rafiki

Popular Posts

Recent Comments