.

.

Latest Posts

Showing posts with label kajala entertainment. Show all posts
Showing posts with label kajala entertainment. Show all posts

FARID Uwezo My crazy buffa busy editing... #SIKITU coming soon

Leave a Comment Read More

Team kajala and my funs tell me, how do i look

Leave a Comment Read More

KAJALA ROAD TRIP NIKIWA NA WASANII WENZANGU

Leave a Comment Read More

Filamu Mpya Kajala PISHU Ipo sokoni


Filamu Mpya: Kajala Kutoa PISHU siku ya Mei Mosi
     
    Leave a Comment Read More

    Know about Kenedy Victor

    Kened victor ndio jina lake lakini he so famous under Kenny ni kajana lakini wengi wanamuita handsome boy chotara huyo aliyezaliwa miaka kadhaa iliyopita na kupata elimu yake nchini Uganda na kurudi nyumbani kuendeleza sanaa yake. Alipofika tu alitumbukia kwenye modeling kutokana na mwili wake lakin mtunis akaona sio sehemu yake sahihi ni lazima akae kwenye movie na ndio hapo safari yake ilipoanzia. Mkali huyo kashafanya movie kibao lakini movie yake kali ilikuwa best wife kwani ndio ilikuwa ya kwanza na jasho jingi lilimtoka mpka leo kuitwa star. Lakin yeye anaikubali sana movie ya mrembo kikojozi na kwa sasa anakuja na movie itakayo kua history in bongo stay tune
    Leave a Comment Read More

    HATIMAYE MOVIE MPYA UNDER KAJALA ENTERTAINMENT YA MBWA MWITU KUZINDULIWA JUMATANO HII MLIMANI CITY

    Final ile movie ya mbwa mwitu kuwa lounge pale mlimani city siku ya jumatano na mkuu wa police kuwa mgeni rasmi kama short story mobie hiyo inayo base katika true story tukusanyike wote watakaolikwa pale mlimani city jumatano hii kwa movie hiyo yenye uhalisia na ukweli wa maisha yetu
    Leave a Comment Read More

    MSANII WA NIGERIA IYANYA KUTAFUTA VIPAJI VYA WASANII NCHINI KENYA SEPTEMBER 14 MWAKA HUU

    Producer wa ngoma ya johnny na aliyefanyia mixing ngoma ya Selebobo wakiwa na wasani kama tecno na emanyira na mkuu wao Iyanya wantarajiwa kushuka kenya 14 mwezi huu kupiga show lakini pia kutafuta wasanii wa kufanya nao kazi tayar mtu kama nameless tayar wameshafanya nae mazungumzo na artist wengine iyanya akiwa na producer wake Ubi frankin ofem watakuepo kenya so fursa ndio hiyo si lazima mpaka mkenya
    Leave a Comment Read More

    PHOTO HAWA NDIO MASTAA WA KIKE WANAONGOZA KWA KUWA NA SHAPE NZURI EAST AFRICA

    Most amazind shape Vera ni dem aliyekaa vizuri sana katika madem wachache ambao ukiwatazama macho yanapata burudani basi na yeye yumo kwani she get what it take. Kajala masanja huyu yuko so sex kwa kweli ukimuangalia mara moja then usirudie basi ukapime macho maana itakuwa hujaona kwa kweli ameumbika sana na ni super natural shepu ya mwanza mwanza. Masogange huwezi kumzoea hata akiwa mtu wako kwani ni shida sana kuzuoa muonekano wake especial akiwa hana stress. Wema sepetu bado queen huyu anakaa popote tu kwenye watu na bahati yupo na as well kwenye most amasing shape huwezi kumtoa ametulia na shepu inamvuto sana.
    Leave a Comment Read More

    RADIO YA EFM IMETANGAZA DAU NONO KUMYAKUA MTANGAZAJI WA RADIO YA CLOUDS FM DJ FETTY

    Dj fetty atengewa dau nzuri na efm radio asua sua kuhamia habari zilizotufikia ni kwamba efm wanataka mpaka kufikia mwisho wa mwaka wawe wamesimama vywa kutosha kwa kuwaleta majembe ya ukweli fetty aliahidiwa vitu vingi sana kama akikubali kwenda kujiunga na mastar wenzio huko efm kama maulid kitenge na wengineo ila hakutoa jibu kabili though dili hilo lilimfuata pia diva lakini demand yake ilikuwa kubwa kupita kazi atakayoifanya
    Leave a Comment Read More

    SINTAH WA BONGO MOVIE AJIFUNGUA MTOTO WA KIUME

    Romuors has it Sinta sio jina jipya sana katika masikio ya wadau wa movie hapa inasemekana kwamba mrembo huyo aliyawahi kuwa na mahusiano na sir nature na pia kuwahi kuwa na mahusiano mengine huko Uganda na kupata mtoto mmoja na sasa mrembo huyo amejifungua mtoto mwengine but mtoa habari wetu akasibitisha kujifungua kwa mrembo huyo anayeishi maeneo ya kijitonyama.....
    Leave a Comment Read More

    SHOW YA DIAMOND THE PLATNUMZ UJERUMANI YAZUA UTATA KATI YA WEMA SEPETU NA MENINAH

    Na hiki ndicho alichokisema staa wa bongo movie mwanadada wema sepetu...... Wema sepetu amefunguka leo ya kuwa hataki kujua anachofanya Diamond kwa sasa kwani hajui nini kimetokea huko germany na wala hana.......... anatembea na Menina nadhani hii ni ishara ya nini kama shabiki toa maoni
    Leave a Comment Read More

    PHOTO OF THE WEEK KAJALA MASANJA

    Leave a Comment Read More

    KAJALA GUESS WAT?....

    Leave a Comment Read More

    COVER PAGE YA VIBE MAGAZINE YASABABISHA MEZA YA RAY KUTENGANISHWA NA YA JOHARI KWENYE BIRTHDAY PARTY YA ODAMA

    Cover ya vibe yawaweka mbali mbali chuchu hanz na johari warembo hao wakina kila mmoja na meza yake siku ya bithday ya odama source yetu imesema kwamba kukaa huko na kila mtu kuonekana na team yake imesababishwa na cover ya vibe magazine baada ya chuchu kupiga pozi matata na boss wa rj company ambao imezaa company nyingine inayoitwa chura ikimaanisha chuchu hans na ray
    Leave a Comment Read More

    KAJALA ATUMIA MILION 13 KUKARABATI SEBULE YAKE

    Kajala aleta designer wa nje kuja kumpambia sebule yake ambayo imegharimu million 13
    Leave a Comment Read More

    MOVIE MPYA YA MBWA MWITU AMBAYO IPO UNDER KAJALA ENTERTAINMENT COMPANY IS COMING SOON

    Hii ni movie inayohisisha kisa cha kweli kabisa kuhusu group ya watu walijiunga na kujiita mbwa mwitu na kuanza kupora mali za watu kitu ambacho hakiruhusiwi kabisa katika jamii Hapa kajala kule quick pembeni hemedi unaweza kuhisi ni kitu gani kitapatika soon short story hii itasambaa nchi nzima stay tune
    Leave a Comment Read More

    CHECK OUT HOT CHICK UPCOMING MODEL SAUDA...

    Okay leo mtandao wako wa kay entertainment umeamua kumtambulisha kwenu upcoming model Sauda.. Stay tune with us soon tutaanza kukuletea kazi zake ambazo amenza kuzifanya na tayari anaonyesha she can do it, all she needs from u is just support.
    1 comment Read More

    YALOJIRI KWENYE SERENGETI FIESTA 2014 JIJINI TANGA KATIKA VIWANJA VYA MKWAKWANI

    Okay hivi ndivyo namna mwanadada vanessa mdee (veee) alivuotokelezea na kutoa perfomance ya ukweli pale mkwakwani jijini Tanga Msanii linah akiwa kwenye jukwaa la serengeti fiesta 2014 akifanya yake.. Barnaba boy akifanya yake kwenye jukwaaa Maelfu ya watu walijitokeza kwenye serengeti fiesta 2014 Tanga katika viwanja vya mkwakwani Wadau wa musiki jijini Tanga wakishow love Rachel akifanya yake...
    Leave a Comment Read More

    FINALLY ACTOR AUDITION UNDER KAJALA ENTERTAINMENT YAKAMILISHA AUDITION PALE LEADERS CLUB..

    Okay hayawi hayawi sasa yamekuwa, hatimaye kampuni ya kajala entertainment imefanikisha na kukamilisha audition yake ya kutafuta ma actress underground, tayari kwa maandalizi ya new movie, stay tune soon kajala will suprise you alot with her new company ..
    Leave a Comment Read More

    ADVERTISEMENT

    ADVERTISEMENT
    jazz saloon at viva tower for both men and women include massage done by philipine

    Blog rafiki

    Popular Posts

    Recent Comments